Friday, March 13, 2009

WALEMAVU WAANZISHA BENDI, ITAITWA (TUNAWEZA BAND)

Akina dada hawa ni miongoni mwa wanamuziki wa Tunaweza Band kulia Rehema Haji Mhasibu wa bendi na kushoto ni Rebeca Mwabujule mwanamuziki wakiwapiga tafu kaka zao katika mkutano na waandishi wa Habari.

No comments:

Post a Comment