Wednesday, August 13, 2008

karume awaapisha makatibu wakuu wapya

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume akimuapisha Khalid Salum Mohammed kuwa Katibu Mkuu wizara ya Kilimo,Mifugo na Mazingira, awali alikuwa Katibu Mkuu Wizara ya Kazi ajira Maendeleo ya Wanawake na Watoto,hafla hiyo ilifanyika jana Ikulu Mjini Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume akimuapisha,Rahma Mshangama kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Kazi ajira Maendeleo ya Wanawake na Watoto Zanzibar, kabla alikua Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Mifugo na Mazingira,hafla ya kuapisha ilifanyika jana Ikulu Mjini Zanzibar.
Picha kwa hisani ya Ikulu/Zanzibar

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP