Mwanafunzi John Makonyora wa shule ya Sekondari Kambangwa, akizungumza na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu, Dar es Salaam, Bw. Suleiman Kova, alipofanya ziara ya ghafla katika Kituo cha Daladala cha Mwenge kupata taarifa mbalimbali kutoka kwa wananchi zitakazosaidia kuondokana na kero za usafiri.
Back to TOP
1 comments:
I'm impressed by you quaint little blog here.
Post a Comment