Wednesday, September 24, 2008

Latoya azungumza na waandishi wa habari

Mshiriki wa Tanzania katika jumba la Big Brother III ambaye ametolewa mwishoni mwa wiki iliyopita Latoya akijibu maswali ya waandishi juu ya ushiriki wake katika jumba hilo na sababu za kutolewa kwake, kushoto kwake ni mmoja wa Mameneja wa Multichoice Tanzani Ronald Baraka Shelukindo na kulia ni Meneja Masoko wa Multichoice Tanzania Furaha Samalu.

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP