JK akiwasili Nairobi tayari kwa mkutano wa mgogoro wa Kongo
JK na Rais Yoweri Museveni wa Uganda na mwenyeji wao Rais Mwai Obama wa Kenya kwenye hoteli ya Windsor ambako mazungumzo ya mgogoro wa Kongo yanaendelea
Mwenyekiti wa African Union (AU) JK akiongea na KAtibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mh. Ban Ki Moon muda mfupi kabla ya wote kuhudhuria kikao maalumu cha majadiliano kuhusu mgogogoro mashariki ya Kongo katika hoteli ya Windsor Golf and Country Resort huko Nairobi, Kenya
0 comments:
Post a Comment