Mambo ya Mkutano wa SADC Arusha
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Spika wa Bunge Samwel Sitta (kulia) na Spika wa Bunge la Botswana na Mwenyekiti wa Bunge la SADC, Patrick Balopi (katikati) wakifurahia ngoma ya kimasai baada ya Waziri Mkuu kuwasili kwemye viwanja vya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC) kufungua kikao cha 24 cha Bunge la SADC November 25, 2008.
0 comments:
Post a Comment