Mshindi wa Vodafasta Zaituni Mohamed aliyejishindia Bajaj yenye thamani ya sh Milion 4.5 akionyesha funguo ya Bajaj yake aliyejishindia baada ya kukabidhiwa rasmi na Mkuu wa Mauzo wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Ansi Mmasi(kulia)na kushoto ni Afisa wa vodacom Juma Komba.
0 comments:
Post a Comment