Thursday, April 23, 2009

BSS Dar Jumapili

Mkurugenzi wa Benchmark Ritah Paulsen (katikati)akiongea na waandishi wa habari kuhusu shindano la kuwasaka nyota Bongo Star Seach(BSS)kwa mkoa wa Dares Salaam zoezi hilo litafanyika jumamosi hadi jumapili katka ukumbi wa World cinema.(kushoto)Meneja udhamini wa Vodacom Emillian Rwejuna na kulia ni Meneja Mawasiliano Nector Foya wa Vodacom Tanzania ambao ni wadhamini wakuu wa Bongo Star Search.

Mkurugenzi wa Benchmark waandaaji wa Bongo Star Seach Ritah Paulsen akizungumza na wanahabari katika mako makuu ya Vodacom jengo la PPF Tower wakati alipoongea na wanahabari kuelezea juu ya shindano la BSS linalotarajiwa kufanyika jumamosi na jumapili mkoani Dar es alaam kulia ni Nector Foya meneja mawasiliano Vodacom

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP