Friday, April 17, 2009

Mh. Munuo ndiye kaimu jaji mkuu

Makamu wa Rais Dk Ali Mohamed Shein akipozi na kaimu Jaji Mkuu Mh. Eusebia Munuo (mwenye joho) katika picha ya pamoja na majaji wengine baada ya kumuapisha kukaimu nafasi ya Mh. Augustino Ramadhani ambaye yuko nje ya nchi kikazi

No comments:

Post a Comment