Friday, April 17, 2009

stanbic bank yamzwadia mshindi wa promo yao

bosi wa mauzo na huduma wa stanbic lilian kitomari (kulia) na bosi wa masoko wa benki hiyo abdallah singano wakimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni 10 mkurugenzi wa kanbern international agemcy bernard kanizio baada ya kampuni yake kushinda promosheni ya banking on winning

No comments:

Post a Comment