Hapa ndiyo ilikuwa tamati ya maandamano katika ofisi za Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo
Hata kama watajifanya mabubu lakini ujumbe umefika
Usipime Mkuu, wapiga picha nao hawakuwa nyuma
Maandamano yaliambatana na Ujumbe mzito wa mabango licha ya kziba midomo kwa plasta
Baadhi ya Wahariri pamoja na wanahabari wakiwa katika maandano ya kupinga kufungiwa kwa gazeti la Mwanahalisi,
0 comments:
Post a Comment