Wakazi wa Singida wakiwa katika eneo la ajali ya basi lililouwa abiria 17 jana
Ajali hii ilitokea juzi baada ya basi la Zuberi T 677AGJ lililokuwa likitokea Dar es Salaam kupindika katika mlima Senkenke mkoani Singida kufuatia kukosa breki katika mteremko mkali. Basi hilo liliparamia mlima na kisha kuanguka mtoni umbali wa mita 50 kutoka mlimani.
0 comments:
Post a Comment