SUA watoa tuzo kwa wanafunzi bora
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI) Celine Kombani akiagana na Makamu Mkuu wa Chuo hicho Prof. Gerald Monela(katikati) na Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kilomo Sokoine (SUA) anayeshughulika na mambo ya Taaluma, Prof. Dominic Kambarage (kulia) baada ya kukabidhi tuzo mbalimbali za wanafunzi wa SUa waliofanmya vizuri katika masomo yao ambapo tuzo 120 zilitolewa
0 comments:
Post a Comment