Dullonet Tanzania vision is to make Tanzania to be computerized, in so doing we believe that it will help Our national to be part of global. The key vision is to rapid update of Technology systems and services
Wanenguaji wa Bendi ya FM Academia wakilishambulia jukwaa la Club Aventure mjini Moshi wakati bendi hiyo ilipotumbuiza mashabiki na wakazi wa mjini humo. Bendi hii inaelekea Arusha kufanya makamuzi ya aina hii.
Mashabiki wakijimwaka na wazee wa Ngasuma
Seif Mbonda mpiga tumba wa FM Academia wazee wa Ngasuma akifanya vitu
Presidaa Nyoshi El Saadat akiweka mambo yake jukwaani
0 comments:
Post a Comment