mkurugenzi wa club billicanas dk. lillian mbowe akiongea na waandishi wakati wa ufunguzi rasmi wa club billicanas usiku wa kuamkia leo. listi ya wadau waliofurika humo ilikuwa ni ya nani-ni-nani bongo na wengi walitoka wameridhika kwamba hatimaye bongo kuna klabu baabkubwa
Mambo yalikuwa si mchezo!!
marlaw naye hakuwa nyuma, alikamua kama kawaida
0 comments:
Post a Comment