Tuesday, January 13, 2009

Sherehe za Mapinduzi zafana




Rais wa Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Amani Abeid Karume akitoka kukagua gwaride lililoandaliwa kwa ajili ya maadhimisho ya sherehe za miaka 45 ya Mapinduzi ya Zanzibar . Sherehe hizo zimefanyika leo katika uwanja wa michezo wa Gombani uliopo mjini Chakechake Pemba . Picha na Anna Nkinda - Maelezo


0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP