Thursday, April 16, 2009

Bobby Ricketts awapiga msasa THT

Mmarekani anayeishi Denmark, Bobby Ricketts ambaye ni mtaalamu wa saksafoni na muziki wa Soul, Funk na Jazz, akiwatazama wasanii wa kikundi cha Tanzania House of Talent (THT) walipotumbuiza, Dar es Salaam jana baada ya kutoa mafunzo ya jinsi ya kupiga vyombo vya muziki na kuimba kwa wasanii hao. Mafunzo hayo ya Bobby Ricketts yanafanyika kwa wiki moja.

Mmarekani anayeishi Denmark, Bobby Ricketts ambaye ni mtaalamu wa saksafoni na muziki wa Soul, Funk na Jazz, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana baada ya kutoa mafunzo ya jinsi ya kupiga vyombo vya muziki na kuimba kwa wasanii wa kikundi cha Tanzania House of Talent (THT). Mafunzo hayo ya Bobby Ricketts yanafanyika kwa wiki moja.

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP