Thursday, April 16, 2009

uzinduzi wa ufadhili wa redds kwa kanda za dar

jackson kalikumtima, mwandaaji wa miss ilala akitoa shukrani kwa tbl ambayo kupitia kilaji chake cha redds premium cold ndio wadhamini wa michuano ya kanda tatu za dar. wanaofuatia ni yusuf george a.k.a boy george (mwandaaji wa miss kinondoni), prashant patel (mwenyekiti na mwanzilishi wa miss tz) david minja (bosi wa masoko wa tbl) na kisaka (mwandaji wa miss temeke)

bango linaloonesha kanda za dar ambazo zitadhaminiwa kumpata mwakilishi wao katika miss vodacom tanzania 2009 kama lilivyozinduliwa leo usiku katika much more club ya billicanas

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP