JK akikagua moja ya mabweni ya shule ya sekondari ya Saadani iliyopo wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa
JK akiwahutubia wananchi wa Saadani,wilayani Mufindi muda mfupi baada ya kufungua mabweni ya wavulana katika shule ya Sekondari Saadani
Mwenyekiti wa Umoja wa Wazee wilaya ya Mufindi Mzee Sikauka Mwachang'a akimvika vazi la jadi na kumkabidhi zana za kivita za jadi JK katika uwanja wa mashujaa Mafinga,wilayani Mufindi
JK akiongea na Bi.Alatuhija Mkeleja wakati aliposimama na kuwahutubia wananchi wa Ilembula,Mkoani Iringa
Rais Jakaya Kikwete akiongea na Bi.Alatuhija Mkeleja wakati aliposimama na kuwahutubia wananchi wa Ilembula,Mkoani Iringa (Picha na Freddy Maro).
0 comments:
Post a Comment