Kifo cha Wangwe, utata wazidi kujitokeza baada ya fundi gereji kudai kijana aliekuwa na Marehemu Wangwe alikuwa dereva
Mkazi huyu wa kijiji cha Pandambili, Mwiguni George ndiye aliyeanza kuleta utata wa kifoa cha Marehemu Chacha Wangwe, hapa anasema aliyefika katika eneo la tukio dakika chache baada ya ajali huku akimweleza Kamanda Peter Kivuyo(pili kulia), Kamanda wa Usalama Barabarani wa Mkoa Vitus Nikata ( wa pili tatu kushoto) na Mkuu wa Polisi wa Wilaya ya Kongwa Ramadhan Kalowa (wa pili kushoto) kitu alichoshuhudia.
0 comments:
Post a Comment