rais thabo mbeki wa sauzi akiwashikisha mikono rais robert mugabe, morgan tsvangirai wa chama cha mdc na profesa arthur mutambara wa chama cha mdc-m baada ya kumwaga wino wa kuundwa kwa serikali ya mseto kumaliza zali mchana wa leo huko harare. picha na freddy maro wa ikulu.
Back to TOP
0 comments:
Post a Comment