Wednesday, September 17, 2008

Tanzania yaandaa siku ya michezo

Naibu Waziri wa habari,michezo na utamaduni (katikati ) Mh Joel Bendera akizungumza na waandishi wa habarijijini Dar kuhusu siku ya maadhimisho ya michezo Tanzania ambayo itafanyika septemba 21 kwenye viwanja vya mnazi mmoja,kulia ni Mkurugenzi wa maendeleo ya Michezo Bi Rachel Massamu na kushoto ni Katibu mkuu baraza la michezo Mh Reonald Thadeous.

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP