Saturday, October 11, 2008

Mtikila uso kwa uso na wababe wake

Anayedaiwa kuwa mfuasi wa CCM, Bw. Julius Meng'anyi (kulia) anayetuhumiwa kufanya shambulizi na kujeruhi kwa panga baadhi ya wafuasi wa CHADEMA,katika vurugu zilizotokea juzi kwenye uwanja wa Sabasaba, mjini Tarime, akiwa na watuhumiwa wengine wa makosa mengine alipokuwa akipelekwa kujibu mashitaka katika Mahakama ya Wilaya ya Tarime jana.

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP