Epa sasa yawatafuna vigogo wa BOT
Mtumishi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bi. Esther Komu (kulia) ambaye ni kati ya Watumishi wanne wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) wanaotuhumiwa kwa kesi ya wizi wa fedha za Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), akilia baada yeye na wenzie, akiwemo Bi. Sophia Lalika (kushoto) kufikishwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam jana ambapo walisomewa mashitaka yao.
0 comments:
Post a Comment