Dullonet Tanzania vision is to make Tanzania to be computerized, in so doing we believe that it will help Our national to be part of global. The key vision is to rapid update of Technology systems and services
Baadhi ya watuhumiwa wa wizi wa mamilioni ya benki ya Barclays wakibubujikwa na mchozi katika mahakama ya Kisutu jana baada ya hakimu kuwanyima dhamana kwa mara ya pili. Kesi hiyo imeahirishwa hadi Novemba 22.
0 comments:
Post a Comment