Waziri Mkuu wa Msumbiji, Luisa Diogo atua Tanzania
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mgeni wake Waziri Mkuu wa Msumbiji, Luisa Diogo wakipokelewa na Watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam baada ya kuwasili kwenye Ofisi hiyo kwa Mazungumzo ya kiserikali
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na Mgeni wake, Waziri Mkuu wa Msumbiji, Luisa Diogo baada ya mazungumzo yao ya Kiserikali, ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam
0 comments:
Post a Comment