Jaji Mkuu wa Tanzania aapisha maofisa wapya wa Mahakama
Jaji mkuu wa Tanzania Agustino Ramadhan akimwapisha Bw. John Mgeta kuwa Kaimu Naibu Msajili wa Mahakama Rufani Tanzania leo katika ukumbi wa mahakama ya rufaa Tanzania jijini Dar es salaam.Upande wa kulia wa jaji mkuu ni Kaimu jaji kiongozi kanda ya Dar es salaam Aristoclas Kaijage.
Jaji mkuu wa Tanzania Agustino Ramadhan akipeana mkono na Bi. Happines Ndesamburo mara baada ya kuapishwa kuwa Kaimu Naibu Msajili wa Kitengo cha Biashara Mahakama kuu kanda ya Arusha katika sherehe fupi iliyofanyika leo katika ukumbi wa Mahakama ya Rufaa jijini Dar es salaam.
Mbunge wa Moshi mjini Mh. Philemon Ndesamburo akiwa na mwanaye Bi Happines Ndesamburo nje ya ukumbi wa Mahakama ya Rufani jijini Dar es salaam mara baada ya kuapishwa kuwa Kaimu Naibu Msajili wa Kitengo cha Biashara Mahakama kuu kanda ya Arusha.
0 comments:
Post a Comment