JK akabidhi uenyekiti wa AU kwa Ghadaffi; ahutubia mkutano huo kwa Kiswahili
JK na Mwenyekiti mpya AU Muammar Ghadaffi mara tu baada ya kumkabidhi Uenyekiti wa Umoja wa Afrika
Waziri wa mambo ya nje wa Tanzania Mh. Bernard Membe akiwa pamoja na Mawaziri mwenzie katika mkutano wa umoja wa nchi za Afrika. Toka shoto ni Mh. Shukuru Kawambwa, Mh.Wiliam Ngeleja na Mh. Machano Said wakati Rais Kikwete akisoma Hotuba yake ya kukabidhi Uenyekiti wa AU
JK na Katibu mkuu wa Umoja wa Maitaifa Bank Moon mara tu Baada ya kukubidhi uenyekiti
0 comments:
Post a Comment