JK na Mwenyekiti mpya AU Muammar Ghadaffi mara tu baada ya kumkabidhi Uenyekiti wa Umoja wa Afrika

Waziri wa mambo ya nje wa Tanzania Mh. Bernard Membe akiwa pamoja na Mawaziri mwenzie katika mkutano wa umoja wa nchi za Afrika. Toka shoto ni Mh. Shukuru Kawambwa, Mh.Wiliam Ngeleja na Mh. Machano Said wakati Rais Kikwete akisoma Hotuba yake ya kukabidhi Uenyekiti wa AU

JK na Katibu mkuu wa Umoja wa Maitaifa Bank Moon mara tu Baada ya kukubidhi uenyekiti

JK akikabidhi KIRUNGU kuashiria kumkabidhi uenyekiti kwa Mwenyekiti mpya wa UMOJA WA afrika Kiongozi wa Libya Muammar Ghadaffi

Rais wa Libya Kanali Muammar Ghadaffi akihutubia Marais wa nchi za Afrika mara tu baada ya Kuchanguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa AU
0 comments:
Post a Comment