Pinda akagua ujenzi wa makingamaji Dodoma
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akikagua ujenzi wa Makingamaji katika Kata yaMkonze, nje kidogo ya mji wa Dodoma wikiendi hii. Shoto ni Waziri wa Maji na umwagiliaji, Profesa Mark Mwandosya na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, William Lukuvi. Kulia kwa Waziri Mkuu ni Mchunguji wa kanisala Menonite, Dayosisi ya Kati, Amos Mhagachi. Mradi huo unaendeshwa na kanisa hilo.
0 comments:
Post a Comment