Starndard Chartered yaipiga jeki RT
Wanariadha wawili Aisha Rajab Mathia kushoto na Andrea Silvin Chulo wakiwa wamejifunika Bendera ya Taifa mara baada ya kuongea na wanahabari katika makao makuu ya Benki ya Starndard Chartered kuhusu kushiriki kwao katika mbio za Hong Kong Greatest Race on Earth 2009 Benki hiyo pia imedhamini mbio hizo ambapo wanariadha hao watashiriki mbio za Starndard Chartered Hong Kong Marathon
0 comments:
Post a Comment