Thursday, April 16, 2009

MILIONEA ATAKAYEVUNA MILIONI 100 ZA VODACOM KUPATIKANA JUNI

Katikati ni meneja wa Udhamini na mawasiliano wa Vodacom George Rwehumbiza kushoto Boniface Emmanuel meneja bidhaa na kulia ni Elihuruma Ngowi muneja huduma na Bidhaa wote kwa pamoja wakionyesha bango lenye maneno ya tuzo droo ya milioni mia moja inayotarajiwa kumpata mshindi mwezi wa sita mwaka huu aqmbapo katika kipindi cha miezi 11 iliyopita Vodacom imeshatoa zawadi za zaidi ya Bilioni moja.

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP