Thursday, April 16, 2009

Simba, Yanga wapewa vifaa


Meneja Masoko wa tbl david minja (kulia) akimkabidhi uzi mpya makamu mwenyekiti wa simba sc omari gumbo (mwenye tai) huku meneja wa simba innocent njovu (shoto) na mkurugenzi wa ufundi wa tff sunday kayuni jijini dar. yanga nao wamekabidhiwa uzi wao, tayari kwa mechi ya jumapili hii. Picha ya Juu akimkabidhi katibu mkuu wa Yanga Lucas Kisasa vifaa vya Yanga

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP