Tuesday, April 7, 2009

Wakuu wa Wilaya za Mwanza

Mkuu mpya wa wilaya ya Ukerewe Mh. Queen Mulozi Mashinga akila kiapo kwa mkuu wa mkoa wa Mwanza Dkt. James Msekala

Mkuu mpya wa wilaya ya Kwimba Ryoba Christopher Kangoye naye akila kiapo.

Baada ya kula kiapo wakuu hao wapya wa wilaya za Mwanza katika picha ya pamoja na Mkuu wa Mkoa huo Dk. James Msekela. Kulia ni mkuu wa wilaya mteule wa karagwe Mh. Angelina Mabulla ambaye alikuja kushuhudia kiapo cha wenzake kabla ya kwenda naye kula kiapo chake huko mkoani Kagera.


0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP