Wednesday, August 6, 2008

Paschal Mayalla apata ajali ya pikipiki, aumia vibaya, habari zaidi zinasema ameshatolewa katika hospital ya Dodoma na kuletwa hospital ya Muhimbili

Paschal amepata majereha sehemu mbalimbali za mwili ikiwa namkono ambao umepoteza mawasiliano na sehemu nyingine za mwili


Mwandishi wa siku nyingi na mtangazaji ambaye pia ni mjasiliamali ndugu yetu Paschal Mayalla akiwa Hospitalini mkoani Dodoma baada kupata ajali na pikipiki yake alipokuwa aikisafiri kwenda mkoani humo.

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP