Zain yapata mshindi wa sita wa gari aina ya RAV 4
Meneja Masoko wa Zain Tanzania, Costantine Magavilla (kulia) akizungumza kwa simu na mshindi wa sita wa gari aina ya RAV 4, Mwajabu Salum aliyeshinda katika promosheni ya Endesha Ndoto 2, jijini Dar leo. Katikati ni Mkurugenzi Masoko wa Zain Tanzania, Margaret Kositany na kushoto ni Mkaguzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Bakari Maggid
0 comments:
Post a Comment