Monday, September 29, 2008

JK ahitimisha ziara yake Marekani

JK akizungumza na waandishi wa habari wa tanzania aliofuatana nao kwenye msafara katika hoteli ya intercontinental jijini new york mwisho wa wiki

JK akizungumza na rais wa kituo cha maendeleo duniani,center for global development,dr.nancy birdsall huko washington mwisho wa wiki

JK akiongea na bwana george haily wa marekani huko washington dc,bwana haily ni kiongozi wa taasisi ya vyuo vya tekinologia barani afrika iliyopewa jina la nelson mandela


0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP