JK jioni hii alikuwa miongoni mwa ndugu, jamaa na marafiki waliofika hospitali ya muhimbili kitengo cha mifupa kumfariji mpiganaji athumani hamisi aliyelazwa hapo kufuatia ajali ya gari aliyopata wiki iliyopita huko kibiti, wilayani rufiji, mkoa wa pwani alikoenda kikazi
Back to TOP
0 comments:
Post a Comment