Thursday, September 18, 2008

JK amtembela Athumani Hamis Muhimbili

JK jioni hii alikuwa miongoni mwa ndugu, jamaa na marafiki waliofika hospitali ya muhimbili kitengo cha mifupa kumfariji mpiganaji athumani hamisi aliyelazwa hapo kufuatia ajali ya gari aliyopata wiki iliyopita huko kibiti, wilayani rufiji, mkoa wa pwani alikoenda kikazi

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP