Thursday, September 18, 2008

JK atoa shavu kwa Wachina kutujengea uwanja mpya

JK akiwa katika mazungumzo na Bwana He Yong Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunisti cha China, mazungumzo hayo yalifanyika katioka uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro juzi. Katika mazungumzo hayo Rais Kikwete aliipongeza Serikali ya China kwa mashirikiano mazuri hasa kwa kutujengea uwanja wa michezo wa kisasa (Picha kwa hisani ya Ikulu)

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP