Wednesday, September 17, 2008

Mshindi droo ya pili Barclays apatikana


Mteja wa Benki ya Barclays Tawi la Kisutu Stewart Manyanga (wa pili kushoto) akionesha karatasi aliyochagua ya wakati wa kuchezesha droo ya pili ya promosheni za “Maissha Bomba na wajasiriamali” ambayo inaendeshwa na Benki hiyo iliyochezeshwa jana Jijini Dar eS salaam. Kulia ni Meneja wa tawi hilo , Lizzelotte Manyanga na kushoto ni Afisa wa michezo ya Kubahatisha, Mrisho Milao

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP