Zain yatoa zawadi Mwanza
Meneja Mauzo wa Zain Kanda yaZiwa, Ally Maswanya (kulia) akikabidhi msaada wa mbuzi na bidhaa nyinginezo vikiwamo vyakula kwa Mkuu wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Islamic Yatima Foundation cha Wilaya ya Ilemela, Hamza Bakari jijiniMwanza juzi. Katikati ni Mkuu wa Shule ya Sekondari yaIlemela Islamic Seminary, Siraji Ahmed
Meneja wa Huduma za Jamii wa ZainTanzania, Tunu Kavishe (katikati) akikabidhi boksi lasabuni kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Dk. James Nsekela(kushoto) na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, SalumFerej waliopokea kwa niaba ya kituo cha kulelea watotoyatima cha Islamic Yatima Foundation cha Wilaya ya Ilemela jijini Mwanza
1 comments:
Hello, I like this blog.
Sorry not write more, but my English is not good.
A hug from Portugal
Post a Comment