Zain yatoa zawadi Mwanza
Meneja Mauzo wa Zain Kanda yaZiwa, Ally Maswanya (kulia) akikabidhi msaada wa mbuzi na bidhaa nyinginezo vikiwamo vyakula kwa Mkuu wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Islamic Yatima Foundation cha Wilaya ya Ilemela, Hamza Bakari jijiniMwanza juzi. Katikati ni Mkuu wa Shule ya Sekondari yaIlemela Islamic Seminary, Siraji Ahmed
1 comments:
Hello, I like this blog.
Sorry not write more, but my English is not good.
A hug from Portugal
Post a Comment