Monday, October 20, 2008

Albino watoa kilio chao kwa JK

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya watoto wenye ulemavu wa ngozi,Maalbino ,wakati alipopokea maandamano ya kulaanani ukatili na mauaji ya maalbini,yaliyofanyika katika viwanja vya ukumbe wa Karimjee jumapili asubuhi.

Mbunge wa kuteuliwa anayewakilisha maalbino, Al Shaimaa John Kwegyir akiteta jambo na JK wakati wa hafla ya kuzindua na kuichangia taasisi ya Goodhope Star Foundation ambayo itatetea na kutoa huduma kwa maalbino nchini,iliyofanyika katika hoteli ya Movenpick. Katika harambee hiyo iliyoendeshwa na JK zaidi ya shilingi 16.3/m zilikusanywa.Rais Kikwete alitoa jumla ya shilingi milioni mbili na nusu 2.5/m kama mchango wake kwa taasisi hiyo.

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP