Balozi aendeleza ujumbe wake mkoani Mbeya
Balozi wa Baba Mtakatifu Benedict wa XVI nchini Tanzania,Mhashamu Askofu Mkuu,Joseph Chennoth wakiwa katika picha ya pamoja
Balozi wa Baba Mtakatifu Benedict wa XVI nchini Tanzania,Mhashamu Askofu Mkuu,Joseph Chennoth akiteta na Sheikh Mkuu wa mkoa wa Mbeya,Mohamed Mwansasu katikati ni Mhashamu Askofu wa kanisa Katoliki Jimbo la Mbeya,Evaristo Chengula,wakati wa hafla fupi ya Viongozi mbalimbali wa dini na vyama vya siasa walipokutana katika ukumbi wa mikutano wa Parish,jimboni Mbeya juzi(Picha na Thompson Mpanji).
0 comments:
Post a Comment