Dullonet Tanzania vision is to make Tanzania to be computerized, in so doing we believe that it will help Our national to be part of global. The key vision is to rapid update of Technology systems and services
Mshambuliaji wa Yanga Ben Mwalala akiwa ndani ya nyavu baada ya kufunga goli huku mshambuliaji mwenzake Raia wa Kenya Boniface Ambani akikimbia kushangilia goli hilo, katika mechi hiyo ya watani wa jadi yanga walishinda kwa 1-0.
Hii ndiyo first Eleven iliyopeleka maafa Simba
Mashabiki wakiwa wamepagawa kutokana na ushindi
Wachezaji waYanga wakishangili kwa furaha mara baada ya kumalizika kwa mechi
0 comments:
Post a Comment