JK azima mwenge Tanga
Kijana Safari Antony kutoka Geita Mwanza akimweleza Rais Jakaya Mrisho Kikwete matumizi ya mashine ya kukobolea mahindi aliyoitengeneza na kuileta kwa maonesho katika viwanja vya Tangamano,mjini Tanga katika kilele cha sherehe za Mwenge wa uhuru zilizofanyika kitaifa mkoani Tanga, Picha zote na Freddy Maro
0 comments:
Post a Comment