JK ziarani Mbeya
Jk akikata utepe kuzindua rasmi SACCOS ya Kata ya Lufingo,wilayani Rungwe jana.Pembeni ya Rais ni Mwenyekiti wa SACCOS hiyo Elly Sanya. Picha zote na Freddy Maro wa Ikulu.
Mzee Ambakisye Yoram akimvika mgolole wa Heshima JK muda mfupi kabla ya Rais kuwahutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Rungwe jana.Rais Kikwete yupo katika ziara ya siku kumi mkoani Mbeya
JK akiwasalimia maelfu ya wakazi wa mji wa Mbeya waloijitokeza kumlaki kwa shangwe wakati wa mwanzo ya ziara yake ya kikazi Mkoani humo
JK na Mama Salma Kikwete wakipokea maua kutoka kwa wanafunzi ya shule ya msingi Lufingo wilayani Rungwe,Baraka Michael na Ashura Ephraim, muda mfupi kabla ya kuzindua SACCOS ya Lufingo wilayani Rungwe.
0 comments:
Post a Comment