Mbeya wapokea baraka za papa Benedict wa XVI
Mhashamu Askofu wa jimbo la Mbeya,Evaristo Chengula (aliyevaa kanzu nyeupe) wakiwa katika maeneo ya Chimala,wilaya ya Mbarali ambapo ni mpakani mwa Jimbo la Mbeya na Iringa akibadilishana mawazo na Padre wake Innocent Sanga muda mfupi kabla ya kuwasili Balozi wa papa Benedict wa XVI nchini Tanzania,Apostolic Nuncio,Joseph Chennoth katika ziara yake jimboni Mbeya

0 comments:
Post a Comment