Thursday, October 9, 2008

Pinda atembelea kiwanda Namibia


Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiongozwa na Meneja Mkuu wa Kiwanda cha kukata almasi cha NAMCOT DIAMONDS cha Windhoek, Bw. Kfir Teichman kukagua shughuli za ukataji almasi wakati alipotembelea kiwanda hicho akiwa katika ziara ya kikazi nchini Namibia

Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akisalimiana na balozi wa Zimbabwe nchini Angola ambaye zamani alikuwa balozi wa Zimbabwe nchini Tanzania, Chipo Zindonga kabla ya kikao chake na mabalozi wa nchi za Afrika nchini Namibia kwenye hoteli ya Safari Court jijini Windhoek


0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP