Mambo bado mazito Tarime
MGOMBEA ubunge kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mdogo jimbo la Tarime, Ryoba Kangoye (kulia) akiwa na mgombea udiwani wa Tarime mjini (CCM), Peter Zakaria kwenye helikopta iliyotua jana kwenye uwanja wa Sabasaba mjini Tarime, tayari kutumika kutoa huduma katika shughuli za kampeni za CCM zinazoendelea jimboni humo
0 comments:
Post a Comment