Thursday, October 30, 2008

Wamasai wawachinja wakulima Kilosa

Gari la Polisi likiwa limebena miili ya wanaume wawili waliouwawa na wafugaji wa jamii ya wamasai kwa kukatwa vichwa kwa kutumia sime baada ya kuikuta katika vichaka. Wafugaji na wakulima kwa mara nyingine tena wilayani Kilosa wamepigabna na kusababisha vifo vya watu sita wakazi wa kitongoji cha Kikenge..

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP