Thursday, October 30, 2008

Dr. Burian ahudhuria mkutano Korea

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Dk. Batilda S. Burian akiteta jambo na mtaalam mwelekezi - Masuala ya Ardhi Oevu kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii Bw. John D. Balarin katika mkutano wa Ramsar juu ya hifadhi ya Ardhi oevu unaondelea Mjini Changwon, Korea. Picha na Lulu Mussa wa OMR

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Dk. Batilda S. Burian akifuatilia majadiliano katika mkutano wa Ramsar juu ya hifadhi ya Ardhi oevu, kulia ni Bi. Africo Simon Afisa Wanyapori Kitengo cha Ardhi Oevu - Wizara ya Maliasili na Utalii katika mkutano unaoendelea Mjini Changwon, Korea.

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP